Apply Online

Kolandoto College - Compact Menu Becus Health Training Center - Diploma in Clinical Medicine & Medical Laboratory
Maelezo ya Kujiunga na Chuo

Jinsi ya Kuomba Kujiunga na Chuo

Fuata hatua zifuatazo ili kujiunga na chuo chetu:

Hatua za Maombi

  1. Lipa Ada ya Maombi: Ada ya maombi ni Tsh 20,000. Lipa kupitia akaunti yetu ya benki:
    Namba ya Akaunti: 015C615218101
  2. Wasilisha Ushahidi wa Malipo: Piga picha au skani risiti ya malipo na uiambatanishe kwenye fomu ya maombi.
  3. Jaza Fomu ya Maombi: Jaza taarifa zako zote kwa usahihi.
  4. Tuma Maombi: Baada ya kukamilisha fomu, bonyeza kitufe cha "Tuma" (Submit).
  5. Subiri Uhakiki: Maombi yako yatakaguliwa na tutawasiliana nawe kwa hatua zinazofuata.

Sifa za Kujiunga na Medical Laboratory

Waombaji wa kozi ya Medical Laboratory wanapaswa kuwa na ufaulu wa angalau Daraja D katika masomo 4. Masomo hayo ni Kemia, Baiolojia, Fizikia (au Hisabati) pamoja na somo moja la ziada isipokuwa Dini.

Sifa za Kujiunga na Clinical Medicine

Waombaji wa kozi ya Clinical Medicine wanapaswa kuwa na ufaulu wa angalau Daraja D katika masomo 4. Masomo hayo ni Kemia, Baiolojia, Fizikia, pamoja na somo moja la ziada la chaguo lako.

Apply Online

Weka Kiambatisho cha Risiti ya Malipo ya Benki kwa mfumo wa picha/pdftxt n.k
Uraia wako
Namba yako ya Mtihani Ya kidato cha nne
makazi yako kwa sasa
Kata uhayotoka
mwaka uliomaliza kidato cha nne
anwani ya posta
Chagua ngazi ya ufaulu wa somo hili
Chagua ngazi ya ufaulu wa somo hili
Chagua ngazi ya ufaulu wa somo hili
orodhesha masomo mengine uliyofaulu kwa ufaulu D, na zaidi, kwa mfano "mathematics D, Geography D, English D"
Je Unataka kujiunga na kozi gani
Je, Wewe ni mwanafunzi anayeendelea? na masomo, unataka kujiunga na level ya mbele zaidi
Je unataka kujiendeleza na ngazi gani, ngazi ya 5, au ya 6
Ambatanisha cheticertificate yako kama una jiendeleza /Upgrader

Fields with (*) are compulsory.

Scroll to Top